Psalms 119:1-3

Sifa Za Sheria Ya Bwana

Kujifunza Sheria Ya Bwana

1 aHeri wale walio waadilifu katika njia zao,
wanaoenenda katika sheria ya Bwana.
2 bHeri wale wanaozishika shuhuda zake,
wamtafutao kwa moyo wao wote.
3 cWasiofanya lolote lililo baya,
wanaoenenda katika njia zake.
Copyright information for SwhNEN